Muziki umekuwa moja ya sanaa ambazo Edgar Ngelela amekuwa akizipenda. Alianza kwa kuimba katika miaka yake ya shule ya msingi lakini kwa muda mrefu alikuwa akiimba nyimbo za watu. Mwaka 1999 aliandika nyimbo yake ya kwanza iliyoitwa 'Sababu nyingi' (So many reasons) lakini pamoja na nyimbo mbili zilizofuatia hakuwahi kuzirekodi. Mwaka 2001 akiwa TaSUBa alitunga wimbo wake wa kwanza wa kiswahili uliyoitwa 'Mpweke'. Hapa aliongeza juhudi katika kujifunza upigaji wa gitaa. Muda si mrefu alifanikiwa kuimba na kuzipiga nyimbo zake kwenye gitaa. Kwa nafasi aliyokuwa nayo TaSUBa Ngelela alipata nafasi ya kukutana na wasanii wakongwe kama Vitalis Maembe; msanii aliyerekodi nyimbo nyingi zenye mahadhi ya kiasili na zenye ujumbe mzito. Ngelela ameshirikishwa na Vitalis Maembe kama mpiga solo gitaa kwenye wimbo wa Sumu ya teja na mpiga bass gitaa kwenye wimbo wa John Sombi ulioitwa Masamva.
Je,wimbo wa kwanza wa Edgar Leonard ni upi?
Ground Truth Answers: 1999
Prediction:
Mwaka 2005 akiwa amemaliza TaSUBa Ngelela alirekodi wimbo wake wa kwanza ulioitwa Sema ndiyo ambao haukumaliziwa kufanyika kutokana na matatizo ya kiufundi. Mwaka 2006 akiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alikutana rafiki yake anayeitwa Edson Tibaijuka na kuanzisha kundi la E2E. Mwaka mmoja baadaye kundi lilibadili jina na kuitwa Da'voice jina ambalo lilikuwa na historia yake. Likiwa na watu watatu yaani pamoja na Seki B Edgar mwaka 2008 walifanikiwa kurekodi nyimbo nyingi kama Promise, Mpweke na Take you tonight
Je,wimbo wa kwanza wa Edgar Leonard ni upi?
Ground Truth Answers: Sema
Prediction: